Uganguaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mashine Xbox ya Microsoft iganguwa.

Katika utarakilishi, uganguaji (kutoka kitenzi kuganga, kugangua; kwa Kiingereza: Debugging) ni mfumo wa mkuto wa msuluhisha wa matatizo ya tarakilishi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).