Ugandamuzi data

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Namba ya biti katika hati za wav na hati za mp3.

Katika utarakilishi, ugandamuzi (kwa Kiingereza: data decompression) ni mfumo wa ongezeko la biti ya hati ya tarakimu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).