Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1900

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1900 ulikuwa wa 29 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais William McKinley (pamoja na kaimu wake Theodore Roosevelt) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" William Jennings Bryan (pamoja na kaimu wake Adlai Stevenson).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

McKinley akapata kura 292, na Bryan 155. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.