Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1900

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1900 ulikuwa wa 29 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais William McKinley (pamoja na kaimu wake Theodore Roosevelt) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" William Jennings Bryan (pamoja na kaimu wake Adlai Stevenson).

McKinley akapata kura 292, na Bryan 155. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1900 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.