Twelikondjela Amukoto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Twelikondjela Amukoto (alizaliwa tarehe 28 Julai 1991) ni mchezaji wa soka na futsal nchini Namibia. Twelikondjela anacheza kama beki wa timu ya taifa ya wanawake ya soka ya Namibia pamoja na klabu ya Khomas Nampol FC. Alikuwa sehemu ya timu hiyo katika Kombe la Wanawake la Afrika mwaka 2014.[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Twelikondjela Amukoto". Futsal Namibia. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-01-31. Iliwekwa mnamo 2024-04-21. 
  2. "Shipanga names Gladiators for Women Championship". nfa.org.na. 
  3. "Host Namibia unveil final squad". cafonline.com. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Twelikondjela Amukoto kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.