Trent Alexander-Arnold

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Trent Alexander-Anold akiwa amekaa benchi.

Trent John Alexander-Arnold (alizaliwa 7 Oktoba 1998) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anacheza kama beki wa kulia katika klabu ya Liverpool FC na timu ya taifa ya Uingereza.

Alexander-Arnold ni mwanafunzi wa chuo cha Liverpool na alimaliza mafunzo yake mwaka 2016, akiwa na umri wa miaka 18. Kwa sasa amecheza mechi zaidi ya 50.

Aliiwakilisha Uingereza katika ngazi zote za vijana kutoka chini ya miaka 16 hadi chini ya miaka 21 kabla ya kuanza mwanzo wake mkuu mwezi Juni 2018. Kwa sasa ameliwakilisha taifa lake katika Kombe la Dunia la FIFA 2018.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Trent Alexander-Arnold kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.