Tour de France

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mbio wa mwaka 2006

Tour de France ni shindano mashuhuri la baisikeli nchini Ufaransa[1]. Lilianzishwa mnamo mwaka 1903 na kuendelea kufanyika kila mwaka katika mwezi wa Julai.

Jina Tour de France linamaanisha Ziara ya Ufaransa kwa sababu washiriki wanapitia Ufaransa yote katika muda wa wiki 3, na wakati mwingine sehemu za mbio zinaingia pia katika nchi jirani.

Linatazamwa kama shindano la mbio za baisikeli gumu zaidi duniani.[2] Washiriki ni wanaume pekee.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.telegraph.co.uk/cycling/0/tour-de-france-rules-2020-jerseys-how-riders-go-toilet/ Tour de France rules: What do the jerseys mean and just how do riders go to toilet?, Tovuti ya Telegraph.co.uk ya 20.09.2020
  2. https://www.britannica.com/sports/Tour-de-France Tour de France, Encyclopedia Britannica
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Tour de France kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.