Titilope Gbemisola Akosa
Mandhari
Titilope Gbemisola Akosa (maarufu kama Titilope Akosa; alizaliwa Lagos, Nigeria) ni mwanamazingira, mtetezi wa haki ya hali ya hewa, mwanasheria, mtaalam wa jinsia na jamii, na mwanaharakati wa haki za binadamu wa Nigeria. Akosa ni mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Kituo cha Masuala ya Karne ya 21. Anaongoza kampuni ya uwakili ya Titi Akosa & Co Nigeria.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Does Paris Climate Accord hang Women, Indigenous People". Juan Cole. 21 Desemba 2015. Iliwekwa mnamo 8 Mei 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "African Peoples to Europe: Don't Hijack Our Renewable Energy". IDC News. 21 Desemba 2015. Iliwekwa mnamo 8 Mei 2020.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Towards a Gender Responsive Green Climate Fuund in Africa". Climate-Chance.Org. 21 Septemba 2015. Iliwekwa mnamo 8 Mei 2020.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Titilope Gbemisola Akosa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |