Theophilus Afelokhai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joel Theophilus Afelokhai (alizaliwa 7 Aprili 1988) ni mchezaji wa kandanda wa Nigeria ambaye anacheza kama golikipa. Theophilus ni mshindi wa taji nyingi za Ligi ya Mpira wa Miguu huko Nigeria wakati akiichezea klabu kama Kano Pillars, Enyimba, na Rivers United.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Afelokhai alijiunga na klabu ya Rivers United kutoka klabu ta Enyimba mwaka wa 2020. Akawa mwanasoka anayelipwa zaidi katika Ligi ya Nigeria ya Professional Football.[1]

Mtindo Anaocheza[hariri | hariri chanzo]

Afelokhai asiyejulikana sana na miguu yake kutoka nyuma, ana sifa nzuri ya kupiga mashuti na kuokoa moja kwa moja.[2]

Ushiriki Kitaifa[hariri | hariri chanzo]

Afelokhai aliitwa kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya kandanda ya Nigeria mwaka wa 2018 baada ya jeraha lililomfanya kutochaguliwa kwa mara ya huko klabu ya Francis Uzoho.[3]

Heshima[hariri | hariri chanzo]

Ushindi Kano Pillars

  • NPFL: 2011-2012, 2012-2013, 2013–2014

Enyimba F.C.

Rivers United

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Theophilus Afelokhai kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.