Sydney

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jumba la Sanaa la Sydney


Sydney
Sydney is located in Australia
Sydney
Sydney
Majiranukta: 33°51′35″S 151°12′40″E / 33.85972°S 151.21111°E / -33.85972; 151.21111
Majiranukta: 33°51′35.9″S 151°12′40″E / 33.859972°S 151.21111°E / -33.859972; 151.21111Coordinates: 33°51′35.9″S 151°12′40″E / 33.859972°S 151.21111°E / -33.859972; 151.21111
AEST (UTC)

Sydney ni mji wa pwani ya mashariki katika nchi ya Australia. Sydney ni mji mkubwa wa New South Wales. Takribani watu milioni 4 wanaishi katika mji wa Sydney na ndio mji mkubwa kabisa nchini Australia.

Mji uligunduliwa mwaka 1788 na Arthur Phillip, aliyekuwa ofisa wa Navy Royal ya Uingereza, na mji ukawa kama sehemu ya wafungwa wa Kiingereza na Kiayalendi.

The Rocks, ni sehemu mojawapo katika mji wa Sydney, ndio ilikuwa sehemu ya kwanza kuwa mji wenye mvuto katika Australia. Sasa imekuwa sehemu yenye mandhari nzuri ya bandari na ni sehemu pa kujipatia kula yaani kuna mgahawa mkubwa.

Panorama[hariri | hariri chanzo]

Muonekano wa Sydney kutokeaMnara wa Sydney

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Australia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sydney kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.