Mgahawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marcus restaurant, huko Knightsbridge.

Mgahawa (au mkahawa kutoka kinywaji "kahawa") ni mahali ambapo chakula kilichopikwa kinauzwa kwa umma, na ambapo watu huketi katika viti maalum vilivyoandaliwa pamoja na meza na kula.

Migahawa hiyo huwa na vyakula tofauti, kwa mfano wali, nyama,biliani, viazi, mayai n.k.

Pia migahawa huwa na vinywaji kama vile soda, maji, maziwa,juisi, chai n.k.

Migahawa hiyo hupatikana kwa wingi mjini kwa mfano katika shule,ofisi n.k.

Mgahawa hutoa huduma yake kwa bei ya kawaida. Baadhi ya watu ambao hupendelea kula kwenye migahawa ni wanafunzi, walimu n.k.

Blank template.svg Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mgahawa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.