Sophia Kleinherne
Mandhari

Sophia Kleinherne (alizaliwa 12 Aprili 2000) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama beki wa klabu ya wanawake ya Eintracht Frankfurt na timu ya taifa ya Ujerumani.[1]
Mnamo Januari 2020, alitajwa na UEFA kama mmoja wa wachezaji vijana 10 wanaoleta matumaini makubwa huko Ulaya[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Aumüller, Ralf (10 Machi 2018). "Sophia Kleinherne hat noch ein ganz großes Ziel" [Sophia Kleinherne still has a very big goal]. Westfälische Nachrichten (kwa Kijerumani). Iliwekwa mnamo 1 Mei 2020.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Ten for the future: UEFA.com's women players to watch for 2020". UEFA. 2 Januari 2020. Iliwekwa mnamo 22 Julai 2021.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sophia Kleinherne kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |