Signalkuppe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kilele cha mlima.

Signalkuppe (kwa Kiitalia: "Punta Gnifetti") ni mlima wa Alpi kati ya nchi za Italia na Uswisi (Ulaya).

Urefu wake ni mita 4,554 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]