Selemani Said Bungara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Selemani Said Bungara (amezaliwa 18 Novemba 1961) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Wananchi au Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kilwa Kusini kwa mwaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017