Samweli wa Waldebba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Samweli wa Waldebba (kwa Ge'ez: ሳሙኤል ዘሀገረ ወልድባ sāmū'ēl za-hagara waldibbā) alikuwa mmonaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia katika karne ya 15.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Desemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.