Salvio na Superio
Mandhari
Salvio na Superio (pia: Salvius, Salve, Saulve, Sauve na Super, Supery, Superieur; walifariki karibu na Valenciennes, 768) walikuwa wamisionari huko Austrasia, leo nchini Ufaransa wakauawa na mtawala wa eneo hilo, Vinegardi. Walitokea Auvergne, Salvio akiwa askofu na Superio mwanafunzi wake[1][2][3][4].
Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/59530
- ↑ Nominis : Saints Saulve et Supérieur
- ↑ Forum orthodoxe.com : saints pour le 26 juin du calendrier ecclésiastique
- ↑ https://archive.wikiwix.com/cache/index2.php?url=http%3A%2F%2Fnominis.cef.fr%2Fcontenus%2Fsaint%2F1396%2FSaints-Saulve-et-Superieur.html#federation=archive.wikiwix.com&tab=url
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |