Sadie Benning

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Benning in 2011

Sadie T. Benning (alizaliwa Aprili 11, 1973) ni msanii wa nchini Marekani, ambaye amefanya kazi hasa katika masuala ya video, uchoraji, upigaji wa picha na ukurekodiji wa sauti.[1]

Benning hutengeneza filamu za majaribio na kuchunguza maudhui mbalimbali kama vile, jinsia, utata, ukiukaji sheria, uchezaji, urafiki na utambulisho. Alikuja kuwa msanii anayejulikana akiwa kijana, na filamu zake fupi zilizotengenezwa na kamera ya PixelVision ambayo imeelezewa kama "shajara za video".

Benning alikuwa mwanzilishi na mwanachama wa zamani wa bendi ya electronic rock ya Marekani , kuanzia mwaka 1998 hadi 2001.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Burton, Johanna (2017). Trigger: Gender as a Tool and a Weapon. New York: New Museum. uk. 336. ISBN 978-0915557165. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sadie Benning kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.