Mbaya (mmea)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Rottboellia cochinchinensis)
Mbaya
Mimea ya mbaya
Mimea ya mbaya
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Manyasi)
Nusufamilia: Panicoideae
Jenasi: Rottboellia
Spishi: R. cochinchinensis
(Lour.) Clayton

Mbaya (Rottboellia cochinchinensis) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Kama jina lake linaashiria nyasi hili ni mmea msumbufu: ni gugu baya sana mashambani na pia nywele zake kama sindano zinavunjika zikidunga ngozi na zinasababisha maambukizo machungu. Spishi inatoka Vietnam kwa asili lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika nchi zote za tropiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]