Rosemary Aluoch

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rosemary Aluoch; (Kuanzia Julai 5 1976 - Oktoba 4 2020) alikuwa mwanasoka wa Kenya ambaye alicheza golikipa.[1]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

  Aluoch alichezea timu ya wanawake ya Kenya kuanzia 1995 hadi 2014. Pia alichezea vilabu vingi vya kandanda nchini Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, na Burundi. Alijiunga na wafanyakazi wa timu ya wanawake ya Kenya mnamo 2015, akihudumu kama mkufunzi wa makipa. [2]

 Rosemary Aluoch alifariki Kasarani Oktoba 4 2020 akiwa na umri wa miaka 44. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

     

  1. https://issuu.com/soka.co.ke/docs/soka_magazine_issue_11_web
  2. "Shock as former Harambee Starlets ace dies". Nation. 4 October 2020.
  3. "Rosemary Aluoch, l'ancienne gardienne des Harambee Starlets, inhumée". Confédération Africaine de Football (in French). 26 October 2020.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Rosemary Aluoch kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.