Ronny Coaches

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ronnie Coaches (Alifariki 21 Novemba 2013), pia anajulikana kama Ronnie, alikuwa mwanamuziki mzaliwa wa Ghana na mwanachama wa kikundi cha muziki cha hiplife cha Buk Bak.[1]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Alipata elimu yake ya sekondari katika shule ya Datus Complex. Pia alikuwa na mafunzo ya kiufundi katika Accra Technical Training Centre (ATTC).

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Ronnie alikufa 21 Novemba 2013 huko Korle Bu Teaching Hospital[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Sad News: Roonie Coaches of Buk Bak Fame Is Dead!. Ghana Showbiz. Jalada kutoka ya awali juu ya 24 November 2013. Iliwekwa mnamo 21 November 2013.