Ponto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ponto kati ya maeneo mengine ya Anatolia.
Anatolia wakati wa Warumi na Wagiriki wa Kale.

Ponto (kwa Kigiriki: Πόντος, Pontos) ilikuwa eneo la kaskazini mashariki mwa rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki) kwenye Bahari Nyeusi.

Inatajwa na Biblia ya Kikristo katika Waraka wa kwanza wa Petro 1:1 na katika Matendo ya Mitume 2:9 na 18.2.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Bryer, Anthony A. M. (1980), The Empire of Trebizond and the Pontos, London: Variorum Reprints, ISBN 0-86078-062-7 
  • Ramsay MacMullen, 2000. Romanization in the Time of Augustus (Yale University Press)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Coordinates: 40°36′N 38°00′E / 40.6°N 38.0°E / 40.6; 38.0

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ponto kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.