Pointi
Katika uchapaji, pointi (kwa Kiingereza: point) ni kipimo kidogo zaidi. Watu hutumia pointi ili kupima ukubwa wa fonti na vitu vingine kwenye kurasa zilizochapishwa.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).