Pointi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rula inayoonyesha ukubwa wa pointi (chini ya rula) na ukubwa wa inchi (juu ya rula).

Katika uchapaji, pointi (kwa Kiingereza: point) ni kipimo kidogo zaidi. Watu hutumia pointi ili kupima ukubwa wa fonti na vitu vingine kwenye kurasa zilizochapishwa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.