Peter Krummeck

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Peter Alan Krummeck

Amezaliwa 4 Marchi 1947
Johannesburg Afrika Kusini
Amekufa 9 Novemba 2013
Afrika Kusini
Kazi yake Mwigizaji, mbunifu wa kumbi za michezo, mkurugenzi, mwandishi, mwalimu, na mwanaharakati

Peter Alan Krummeck (4 Marchi 1947 - 9 Novemba 2013) alikuwa mwigizaji, mbunifu wa kumbi za michezo, mkurugenzi, mwandishi, mwalimu, na mwanaharakati kutokea nchini Afrika Kusini ambaye alishinda sifa zaidi ya Afrika Kusini katika mchezo wake wa mtu mmoja ulioitwa ‘’Bonhoeffer’’. Akianzisha utumiaji wa mchezo wa kuigiza kama nyenzo ya upatanisho, alianzisha Huduma ya Jumuiya ya Afrika na Askofu Mkuu Desmond Tutu kama mlinzi.[1]

Maisha ya Awali na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Krummeck alizaliwa Johannesburg. Alisomea usanifu wa picha huko East London, Afrika Kusini na alipata Stashahada ya Kitaifa ya Ubunifu wa Picha kwa alama za juu Zaidi mnamo 1967. Aliteuliwa kuwa msimamizi wa studio katika gazeti la Daily Dispatch katika London Mashariki, chini ya uhariri wa Donald Woods, kabla ya kuhamia huko Cape Town mnamo 1969.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Krummeck, P.A. 2012. Adam & Luke. Cape Town: Junkets
  2. Krummeck, P.A. 2012. Adam & Luke. Cape Town: Junkets
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peter Krummeck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.