Nenda kwa yaliyomo

Peter Kiilu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Peter Kiilu (1951 - 19 Mei 2020)[1] alikuwa mwanasiasa wa Kenya.

Katika uchaguzi wa ubunge wa 2007 wa Kenya, alichaguliwa katika bunge la Taifa la Kenya kama mwanachama wa Orange Democratic Movement-Kenya (baadaye Wiper Democratic Movement) akiwakilisha eneo bunge la Makueni.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Uhuru mourns former Makueni MP Peter Kiilu", The Star, 19 May 2020. Retrieved on 19 May 2020. (en-KE)