Pamanzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwonekano wa ziwa Dziani katika kisiwa cha Pamanzi, Mayotte

Pamanzi (Kifaransa: Petite-Terre) ni kisiwa kidogo cha eneo la ng’ambo la Ufaransa la Mayote. Kisiwa kikubwa ni Maore (Kifaransa: Grande-Terre).

Pamanzi ina eneo la km² 11.

Mji mkubwa ni Dzaoudzi penye kiwanja cha ndege.

Kijiografia kisiwa hicho ni sehemu ya funguvisiwa la Komori.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Pamanzi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.