Osteotomi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Osteotomi (kutoka Kiingereza "Osteotome") ni chombo kinachotumiwa hospitalini kukata mfupa. Chombo hiki hutumiwa hivi leo katika upasuaji wa kiplastiki, upasuaji mifupa na meno. Kifaa hiki kimsingi ni msumeno wa mnyororo mdogo.

Osteotomi ya mnyororo iligunduliwa na daktari wa Ujerumani Bernhard Heine mwaka 1830.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.