Bernhard Heine

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bernhard Heine (Agosti 20, 1800 – Julai 31, 1846) alikuwa ni tabibu na mtaalamu wa mifupa wa Ujerumani.

Yeye ndiye mgunduzi wa osteotomi, chombo kinachotumika kukata mifupa.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bernhard Heine kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.