Ochungulo Family

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ochungulo Family
Asili yake Nairobi,Kenya
Aina ya muziki Pop, dance, Gengetone, pop rock
Miaka ya kazi 2017– 2021
Studio Dapstrem Entertainment,
Tovuti        =ochungulofamily.com/
Wanachama wa sasa
Nellythegoon
Benzema
Dmore

Ochungulo Family ni kundi la muziki wa Gengetone nchini Kenya lililoundwa Nairobi na Nellythegoon, Benzema na Dmore mwaka 2017. Kundi hili limepata umaarufu kwa wimbo wao uitwao Na Iwake.

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ochungulo Family kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.