Nicholas Bett

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bett mwaka 2015.

Nicholas Kiplagat Bett (27 Januari 1990 - 8 Agosti 2018) alikuwa mwanariadha wa Kenya aliyeshindana mbio ya mita 400 ya urukaji viunzi. Muda wake bora wa binafsi ni sekunde 47.79. Alikuwa bingwa wa dunia katika mwaka 2015 na pia alikuwa na pete za shaba mbili Michezo ya Riadha ya Afrika.

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Uasin Gishu, Kenya.[1]

Bett alikufa kwa ajali ya gari Nandi Hills, Kenya 8 Agosti 2018, kwenye umri wa miaka 28.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 2018 CWG bio. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-05-16. Iliwekwa mnamo 26 April 2018.
  2. Ex-world champion Nicholas Bett dies in Nandi road crash. Daily Nation (8 August 2018).
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nicholas Bett kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.