Nduni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nduni ya Gimp inaitwa "Distress Selection"

Katika utarakilishi na programu tete, nduni (kwa Kiingereza: feature) kwa mujibu wa "Institute of Electrical and Electronics Engineers" (kwa Kiswahili: Chuo cha wahandisi wa umeme na elektroniki) ni sifa bainifu ya programu; kwa mfano, utendaji, vitu vinavyoweza kubebwa (uwezo), au utumizi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.