Nadharia ya uhusianifu
![]() |
Makala hii au sehemu ya makala hii inahitaji masahihisho kwa upande mmoja wa zifuatazo:
|
Nadharia ya uhusianifu iliundwa na Albert Einstein. Ni pamoja na nadharia uhusianifu maalum (mwaka 1905) na nadharia uhusianifu ya jumla (1916).
Nadharia uhusianifu maalum husema:
- Wachunguzi wawili wakiwa na mwendo mingine, hukuona wakati na umbali hubadilishwa, katika fomyula γ=(1-v2/c2)-1/2.
- Kasi ya nuru huwa sawa kwa wachunguzi wote.
Nadharia uhusianifu ya jumla huelezea uvutano kama uviringo wa wakati na nafasi. Hurefusha nadharia ya uvutano ya Isaac Newton. Hutumiwa na kosmolojia kisasa.
Majaribio wengi wamethibitisha nadharia zote mbili,[1] kama vile majaribio wa Michelson-Morley na majaribio wa Ives-Stilwell (nadharia uhusianifu maalum), na majaribio wa Pound-Rebka (nadharia uhusianifu ya jumla).