Nenda kwa yaliyomo

Naby Keita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Naby Keita

Naby Laye Keita (alizaliwa 10 Februari 1995) ni mchezaji wa soka wa Guinea ambaye anacheza kama kiungo wa kati wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Liverpool F.C.

Ndiye nahodha wa timu ya taifa ya Guinea iliyopo barani Afrika.

Maisha ya Awali

[hariri | hariri chanzo]

Naby Laye Keita alizaliwa tarehe 10 Februari 1995 mjini Conakry.[1][2][3]

  1. "Naby Keita: 10 things on RB Leipzig's Liverpool-bound Guinea midfielder". Bundesliga. 15 Februari 2018. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 18 Machi 2022. Iliwekwa mnamo 1 Juni 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "FIFA Club World Cup Qatar 2019: List of Players: Liverpool FC" (PDF). FIFA. 5 Desemba 2019. uk. 7. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 5 Desemba 2019. Iliwekwa mnamo 17 Januari 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Naby Keita". Liverpool F.C. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 12 Desemba 2022. Iliwekwa mnamo 12 Desemba 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Naby Keita kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.