Mwavuli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwavuli (wingi: miavuli) ni chombo cha duara ya kitambaa chenye fimbo moja katikati kinachotumika kukinga mtu dhidi ya mvua au jua.

Pia hutumiwa kufanya kivuli na kukinga watu dhidi ya mionzi ya jua.

Picha[hariri | hariri chanzo]