Mwatate
Mwatate | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Kaunti ya Taita-Taveta |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 3 386 |

Wachimbaji katika mgodi.
Mwatate ni mji wa kaunti ya Taita-Taveta, na ndio makao makuu ya kaunti. Ni pia kata ya eneo bunge la Mwatate, kusini mashariki mwa Kenya[1].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mwatate kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |