Mto Messinge

Majiranukta: 11°34′00″S 35°25′00″E / 11.56667°S 35.41667°E / -11.56667; 35.41667
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

11°34′00″S 35°25′00″E / 11.56667°S 35.41667°E / -11.56667; 35.41667

Mto Messinge ni tawimto la mto Rovuma. Kwenye kilomita za mwisho za mwendo wake linafanya mpaka kati ya Msumbiji na Tanzania. [1] Chanzo chake kinapatikana Msumbiji kwenye kimo cha mita 575 juu ya UB kwenye nyanda za juu za Njesi upande wa mashariki wa Ziwa Nyassa.

Messinge inajulikana pia kama "Msinji", zamani ilitajwa kwa jina "M'sinje".

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]