Nyanda za juu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyanda za juu (rangi za kahawia) na nyanda za chini (rangi ya kibichi) nchini Tanzania

Nyanda za juu ni maeneo yaliyoinuliwa juu[1] , ama juu ya maeneo yaliyo jirani au kwa kiwango fulani juu ya usawa wa bahari. Kimataifa hakuna ufafanuzi makini ya istilahi hii[2].

Mara nyingi inataja milima midogo au pia tambarare iliyopo mnamo mita 500 juu ya usawa wa bahari; wakati mwingine milima ya juu zaidi huhesabiwa humo, wakati mwingine inatofautishwa na nyanda za juu.

Mifano ya nyanda za juu:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. University of California Museum of Paleontology (1995 and later), upland, UCMP Glossary
  2. Ives, Jack: Highland-lowland interactive systems, [fao.org/forestry/12408-0c3cc6fd0b741cebf40769c2130c27f99.pdf online hapa]