Mto Kwilu

Majiranukta: 3°23′07″S 17°23′04″E / 3.385251°S 17.384491°E / -3.385251; 17.384491
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wananchi wakivuka mto Kwilu.

Mto Kwilu ni tawimto la mto Kwango, ambao tena ni tawimto la mto Kasai katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Chanzo chake ni nchini Angola.

Urefu wake ni km 975 hivi. 3°23′07″S 17°23′04″E / 3.385251°S 17.384491°E / -3.385251; 17.384491

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Kwilu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.