Mnara wa Azimio la Arusha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mnara wa Azimio la Arusha.

Mnara wa Azimio la Arusha ni mnara wa kihistoria na kivutio cha watalii kilicho katika kata ya Kati huko Arusha, Tanzania.

Ulizinduliwa mwaka 1977 na chama tawala cha taifa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa kuadhimisha miaka kumi ya Azimio la Arusha. [1] Upo kando ya barabara ya Makongoro, katikati ya mzunguko.

Mnamo Aprili 2015, sehemu ya mnara huo iliharibiwa wakati ambapo moja ya sahani zake za shaba ilipoibwa. [2][3]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Edmund Christopher Matotay (16 April 2010). Place and Tourism Promotion: Urban Regeneration?. Cambridge Scholars Publishing. ku. 8–. ISBN 978-1-4438-2204-6.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Northern Tanzania's authorities grapple to rescue historic monuments from vandalism". Xinhuanet. 11 April 2015. Iliwekwa mnamo 5 August 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Mashalla, Moses. "Mnara wa Azimio la Arusha ‘umepoteza’ historia yake", 23 March 2015. 
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mnara wa Azimio la Arusha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.