Mlima Gessi

Mlima Gessi uko katika safu ya milima ya Ruwenzori, kwenye mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda (Afrika).
Mlima huo ulipata jina lake kutoka kwa Mwitalia Romolo Gessi (1831 - 1881) aliyekuwa mtafiti wa chanzo cha mto Nile.[1][2]
Kilele cha juu cha Mlima Gessi ni Lolanda (mita 4,715 juu ya usawa wa bahari), halafu Bottego (mita 4699).[2]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Orodha ya milima
- Orodha ya milima ya Afrika
- Orodha ya milima ya Uganda
- Orodha ya milima ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Climbing Mount Gessi (en-US). Rwenzori Mountains. Iliwekwa mnamo 2019-06-02.
- ↑ 2.0 2.1 Mount Gessi | Rwenzori Mountaineering Service (en-US). Iliwekwa mnamo 2019-06-02.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Merriam-Webster's Geographical Dictionary, Third Edition. Springfield, Massachusetts: Merriam-Webster, Incorporat]]ed, 1997. ISBN 0-87779-546-0.