Nenda kwa yaliyomo

Mkuu wa wilaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mkuu wa wilaya ni kiongozi mkuu wa serikali katika wilaya.

Jukumu la kiutawala la Mkuu wa Wilaya ni kuhakikisha kwamba mifumo ya utawala katika wilaya yake inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi.

Kwa Tanzania kiongozi huyo huteuliwa na Rais. Ndiye mwakilishi wa Rais katika wilaya.

[1]

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkuu wa wilaya Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. http://urbanlex.unhabitat.org/sites/default/files/urbanlex//tz_regional_administration_act_1997.pdf