Nenda kwa yaliyomo

Mkuu wa mkoa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mkuu wa Mkoa ni kiongozi mkuu wa serikali katika mkoa[1].

Jukumu la kiutawala la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha kwamba mifumo ya utawala katika wilaya zake inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi.

Kwa Tanzania kiongozi huyo huteuliwa na Rais. Ndiye mwakilishi wa Rais katika Mkoa.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkuu wa mkoa Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.