Mkuki na Nyota

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mkuki na Nyota Publishers Ltd (MNP) ni kampuni ya uchapishaji wa vitabu iliyoanzishwa mwaka 1990,[1] kwa ajili ya kuchapisha vitabu vya aina mbalimbali, vikiwemo vile vya watoto, fasihi, biashara, utafiti na vile vya elimu.

Mkuki na Nyota huchapisha vitabu katika lugha za Kiswahili na Kiingereza na pia hutafsiri vitabu kutoka katika lugha nyingine ikiwemo Kifaransa.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.mkukinanyota.com/about/
  2. "Le Petit Prince, Mwana Mdogo Wa Mfalme". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 23 February 2013. Iliwekwa mnamo 7 March 2012.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkuki na Nyota kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.