Mkazo
Jump to navigation
Jump to search
Mkazo ni nguvu ya ziada inayotumika kutamka silabi au neno moja kuliko nyingine. Katika lugha mbalimbali mkazo unaandikwa kwa alama yake hasa juu ya vokali, kwa mfano: à, è, é, ì, ò, ù.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkazo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |