Miri Taylor

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Taylor mnamo 2017

Miriaél Géanne Taylor (alizaliwa 2 Februari 2000)[1][2] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uingereza ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi ya Juu ya Wanawake (WSL) kwa mkopo akitokea Liverpool.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Miri Taylor kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "Instagram". www.instagram.com. Iliwekwa mnamo 2024-04-25. 
  2. "Miri Taylor - Women's Soccer". Hofstra University Athletics (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-25. 
  3. Hannah Pinnock (2023-01-19). "Liverpool Women confirm signing of Angel City midfielder Miri Taylor". Liverpool Echo (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-25.