Aston Villa F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aston Villa F.C.
association football club
Kuanzishwa21 Novemba 1874 Hariri
Jina rasmiAston Villa Football Club Hariri
NicknameΟι Χωριάτες, The Villa, The Lions, The Claret & Blue Army Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
MwenyekitiNassef Sawiris Hariri
NchiUfalme wa Muungano Hariri
Kocha mkuuUnai Emery Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza Hariri
Mahali pa nyumbaniVilla Park Hariri
Inamilikiwa naWes Edens, Nassef Sawiris Hariri
MmilikiVilla Park Hariri
Eneo la makao makuuAston Hariri
Tovutihttps://www.avfc.co.uk/ Hariri
Historia ya madahistory of Aston Villa F.C. Hariri
Rangi inayotambulikabordeaux, sky blue Hariri
Jamii ya washirikiCategory:Aston Villa F.C. players Hariri
wachezaji wa Aston Villa F.C kulia wakiongea na refa katika mchezo dhidi ya timu ya Watford

Aston Villa F.C. (majina ya utani: Villa, The Villa, The Villans na Lions) ni klabu ya mpira wa miguu iliyoko huko Aston katikati ya mji wa Birmingham, Uingereza. Klabu ya soka ya Aston Villa iliundwa mwezi Machi 1874. Waanzilishi wanne wa Aston Villa walikuwa Jack Hughes, Frederick Matthews, Walter Price na William Scattergood.[1][2]

Uwanja wa mpira wa miguu wa klabu ya Aston Villa maarufu kama (villa park)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Matthews, Tony (2000). "Aston Villa". The Encyclopedia of Birmingham City Football Club 1875–2000. Cradley Heath: Britespot. p. 17. ISBN 978-0-9539288-0-4. 
  2. Woodhall, Dave (2007). The Aston Villa Miscellany. Vision Sports Publishing Ltd. p. 16. ISBN 978-1-905326-17-4. 
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Aston Villa F.C. kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.