Mikoa ya Bolivia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa
Mkoa

Hii ni orodha ya Mikoa ya Bolivia (Kihispania: departamentos de Bolivia) na ramani.

Maelezo[hariri | hariri chanzo]

Bendera Escudo Jina Mji mkuu Eneo Wakazi Lugha rasmi
Beni Trinidad 213.564 km² 430.049 (2008) Kihispania
Kimoxeño
Chuquisaca Sucre 51.524 km² 631.062 (2008) Kihispania
Kiquechua
Cochabamba Cochabamba 55.631 km² 1.786.040 (2008) Kihispania
Kiquechua
La Paz La Paz 133.985 km² 2.756.989 (2008) Kihispania
Kiquechua
Kiaymara
Oruro Oruro 53.558 km² 444.093 (2008) Kihispania
Pando Cobija 63.827 km² 75.335 (2008) Kihispania
Potosí Potosí 118.218 km² 780.392 (2008) Kihispania
Kiquechua
align="center" align="center"| Santa Cruz Santa Cruz de la Sierra 370.621 km² 2.626.697 (2008) Kihispania
Kiguaraní
Tarija Tarija 37.623 km² 496.988 (2008) Kihispania

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Bolivia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mikoa ya Bolivia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.