Micere Githae Mugo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Micere Githae Mugo

Micere Githae Mugo (alizaliwa Madeleine Micere Githae; 1942 - 2023) alikuwa mwandishi wa filamu na vitabu na mwanaharakati, muongozaji na mtunzi wa mashairi kutoka Kenya[1]. Alikuwa mhakiki wa kusoma na kuandika na Profesa wa kazi za Fasihi katika Kitengo cha mafunzo ya watu wenye asili ya Afrika katika chuo kikuu cha Syracuse, New York huko Marekani.

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Mugo alizaliwa Baricho, wilaya ya Kirinyaga, mwaka 1942, akiwa mtoto wa walimu wawili waliokuwa wakishiriki siasa na kuhusika katika kupigania uhuru wa Kenya. Alisoma katika shule ya msingi na ya sekondari akiwa huko kenya na kusoma katika shule ya Alliance Girls kwenye ngazi ya kidato cha tano na sita[2]. Ndiye mwanafunzi wa kwanza Mweusi kusoma kwenye shule ambayo ilikuwa ikibagua mwanafunzi kwa rangi ya ngozi zao.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Micere Mugo (Micere Githae Mugo) Biography - (1942– ), (Micere Githae Mugo), Visions of Africa, The Long Illness of Ex-Chief Kit, Disillusioned". www.jrank.org (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-02-17. 
  2. "Alliance Girls High School:: Historical Perspectives". web.archive.org. 2011-09-03. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-09-03. Iliwekwa mnamo 2022-02-17. 
  3. "Answers - The Most Trusted Place for Answering Life's Questions". Answers (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-02-17.