Mhadjeb

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Mhadjeb iliyopo na chai ya asili ya mint
Picha ya Mhadjeb iliyopo na chai ya asili ya mint

Mhadjeb ni mkate mwembamba unaofanana na chapati unaotokea Algeria.[1]


Mhadjeb ni chakula cha kitamaduni cha Kialgeria, ni mkate mwembamba unaofanana na chapati ulio na mchanganyiko wa vitunguu, vitunguu saumu, nyanya, pilipili na viungo.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]