Memi wa Chalons

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Memi wa Chalons (pia: Memmius, Memmie, Menge, Meinge; alifariki 300 hivi[1]) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo, leo nchini Ufaransa[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Alban Butler, The Lives of the Fathers, Martyrs, and Other Principal Saints (J. Duffy, 1866), 103.
  2. http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=5073
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/65480
  4. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.