Mchicha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchicha
(Amaranthus)
Mchicha
Mchicha
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Core eudicots (Mimea kama alizeti)
Oda: Caryophyllales (Mimea kama fungu)
Familia: Amaranthaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mchicha)
Jenasi: Amaranthus (Michicha)
L.
Spishi: A. blitum L.

A. caudatus L.
A. cruentus L.
A. dubius Mart. ex Thell.
A. graecizans L.
A. hybridus L.
A. hypochondriacus L.
A. spinosus L.
A. thunbergii Moq.
A. tricolor L.
A. viridis L.

Mchicha (Amaranthus spp.) ni jamii mojawapo ya mboga za majani. Hutumika sana na watu wengi katika Afrika ya Mashariki. Husaidia katika kuona.

Picha[hariri | hariri chanzo]