Masuala ya mazingira nchini Azerbaijan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kama jamhuri nyingi za zamani wa Umoja wa Kisovyeti, Azerbaijan ina uzoefu wa maendeleo ya haraka ya kiuchumi ambayo imesababisha kuongezeka kwa athari mbaya juu ya mazingira, ikiwa ni pamoja na matumizi yasiyofaa ya maliasili[1]. Serikali ya Azerbaijan imelenga kuongeza hifadhi ya mazingira na kuhakikisha matumizi ya busara ya maliasili, na kuanzisha idadi ya sheria muhimu, hati za kisheria na mipango ya serikali ili kuboresha hali ya kiekolojia katika nchi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Kazimov, Ahad, "Azerbaijan", The World Guide to CSR: A Country-by-Country Analysis of Corporate Sustainabili (Greenleaf Publishing Limited): 88–94, iliwekwa mnamo 2022-05-08